New Lyrics

BOONDOCKS GANG – Peng wa Mafilter Lyrics

BOONDOCKS GANG - Peng wa Mafilter Lyrics
BOONDOCKS GANG – Peng wa Mafilter Lyrics

BOONDOCKS GANG – Peng wa Mafilter Lyrics. Mmh mkuruweng, Odi wa Murang’a
Gang gang, genge la bundoksi
(Magix Enga on the beat)

Mi hukata maji kama Musa
Chapanisha manzi ka kipusa
Medusa, kipusa
Hii inafanya mpaka unaweza shusha

Tereren ten ten sitakuficha
Akisema stick sio occasion
Na weng weng weng amefuliza
Na anapenda mchezo ya kuingizwa

Rize ze zeng niwe nacheza
Huyu ni goshodo wa magiza
Aki we Njeri unanipima
Ati we si peng wa mafilter

Nilimpea round akabaki gai fafa
Akafika ground nikadhani ana kifafa
Taniua
Ati we si peng wa mafilter

Nilimpea round akabaki gai fafa
Akafika ground nikadhani ana kifafa
Tako za Jericho zimekuwa za ufafa
Si hukula mbuku hata kama haina cover

Mtoto mkubwa, anataka matiti
Ya mama yake, tokea fiti ndo dem yako aniite bae
I’m a god god ukiniona sema mee
Usiworry leta dem yako useme ngwe’
Baby boo, sema ngwe’

Kiss commander promise
Siwezi kumwaga morning
Form kunyonga nyongi
Napendaga miti kama Tazan mongi

Terere ten ten sitakuficha
Akisema stick sio occasion
Na weng weng weng amefuliza
Na anapenda mchezo ya kuingizwa

Rize ze zeng niwe nacheza
Huyu ni goshodo wa magiza
Aki we Njeri unanipima
Ati we si peng wa mafilter

Are you peng, ama ni filter
Can you dance, cabonita
Inamake sense kama inalipa
Huyu mamu aliniwai sikuitisha

Woii, wooi, pedi ameninokia
Wooii, woooii na amebonda ka bondia
Wooii, woooii sina cash chorea
Na masaa imefika

Tereren ten ten sitakuficha
Akisema stick sio occasion
Na weng weng weng amefuliza
Na anapenda mchezo ya kuingizwa

Rize ze zeng niwe nacheza
Huyu ni goshodo wa magiza
Aki we Njeri unanipima
Ati we si peng wa mafilter

Ni ponty isipokuwa kana forehead
Ni kakonki kanakaanga ma 4A
Vile kanarhyme kanakalia ka 4M
Vile kameiva nashuku kana oven

Panda panda
Panda ukipanga na njama
Na panga panga
Mkikata thutha ni banger

Twanga, tinga tinga si hupenda kukulima
Tinga tinga siwezi penda kukunyima
Kuku kima ni ka Hiroshima
Sikijui jina kinataka dinner
Kinataka bima, kinataka Dimmer
Mi nataka kanijenge irima
Kawache kunipima

Terere ten ten sitakuficha
Akisema stick sio occasion
Na weng weng weng amefuliza
Na anapenda mchezo ya kuingizwa

Rize ze zeng niwe nacheza
Huyu ni goshodo wa magiza
Aki we Njeri unanipima
Ati we si peng wa mafilter

Dr Tumi – Udumo Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Check Also
Close
Back to top button