ELFOO GANG Ft VDJ JONES x PADI WUBON x PITAH SCARLET – Piga Darama Remix Lyrics
ELFOO GANG Ft VDJ JONES x PADI WUBON x PITAH SCARLET – Piga Darama Remix Lyrics Piga darama, piga darama
Sifa sifa bila kuzama
Piga dara aah, piga ring’a aah
Yesu ananipa raha kwake mi nang’aa
Ka jua mi namea ka mmea
Hii si umbea Yesu ndiye anaongea
Aaah Yesu ndiye anaongea
Aaah Yesu ndiye anaongea
Nhimo Shee
Vilemba ni nyingi rangi pia ni nyingi
Mokorino wa kweli imani ndo msingi
Ni wengi wameifunga though imani yao iko chini
Wananena na ndimi wakisema ni dini
Aah kumbe wanaenda chini, Kichini chini
Siamini mimi leta ngoma hapa
Chapa cheza kwa Yesu no raha
Gwake nie ndikauma kwa Yesu no raha
Gwake nie ndikauma
Piga darama, piga darama
Sifa sifa bila kuzama
Piga dara aah, piga ring’a aah
Piga darama, piga darama
Sifa sifa bila kuzama
Piga dara aah, piga ring’a aah
Yesu ananipa raha kwake mi nang’aa
Ka jua mi namea ka mmea
Hii si umbea Yesu ndiye anaongea
Aaah Yesu ndiye anaongea
Aaah Yesu ndiye anaongea
Boy Tecca
Rada radanisha, shika shikanisha
Hii si ya street buda ni ya kanisa
Picha, ticha
Picha piga picha, feature eka Insta
Wakilisha acha shisha leta sifa
Acha shisha leta sifa
Acha shisha leta sifa
Piga darama, piga darama
Sifa sifa bila kuzama
Piga dara aah, piga ring’a aah
Yesu ananipa raha kwake mi nang’aa
Ka jua mi namea ka mmea
Hii si umbea Yesu ndiye anaongea
Aaah Yesu ndiye anaongea
Aaah Yesu ndiye anaongea
Chris Mwas
Toka Nakuru to Nairobi, Githurai ndio mtaa
Bado nasonga mbele mwenzio sikati tamaa
Walinicheka sana nilivyokuwa naparara
Sa wanaona wivu mwenzio navyong’aa
Flavour ni ya machungwa naskia unavuta shisha
Bado nahamasisha mwenzio kurekebisha
Am the first gang sitakuwa hapa
Na yangu ni kuwaokoa hawa vijana
Hapa ka nguruwe sibagui natafuna kila mziki
Kwa paja alitoa bonoko akatishia atafyetua twa(Twa Twa Twa)
Piga darama, piga darama
Sifa sifa bila kuzama
Piga dara aah, piga ring’a aah
Yesu ananipa raha kwake mi nang’aa
Ka jua mi namea ka mmea
Hii si umbea Yesu ndiye anaongea
Aaah Yesu ndiye anaongea
Aaah Yesu ndiye anaongea