New Lyrics

Haitham Kim – SEMA Lyrics

Haitham Kim - SEMA Lyrics
Haitham Kim – SEMA Lyrics

Haitham Kim – SEMA Lyrics We ndo ulifanya najiuliza
Wapi napata wakuntuliza
Nafsi ya moto puliza puliza

Penzi ni moto ukaniunguza
Bila kujali kama nami ni binadamu

Imenipotea hamu
Ila kihali salama
Nakula vitamu
Usijesogea kwangu

Tena fata yako njia ya kawaida
Sito come sito come kwako na
Shida sina ya kupendwa na weii
Uu baby

No no no shida
Sina hamu sina kitu cha kuagiza
Wala cha kuhongwa na weii

Nilikuuliza kama nafaa au sifai sema
Ungenieleza kama sifaiiii kuwa wako
Nilikuuliza kama nafaa au sifai sema
Ungenieleza kama sifaiiii kuwa wako

Tena fata yako njia ya kawaida
Sito come sito come kwako na
Shida sina ya kupendwa na weii
Uu baby

No no no shida
Sina hamu sina kitu cha kuagiza
Wala cha kuhongwa na weii

Samini – Forever Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button