New Lyrics

HARMONIZE – Jeshi Lyrics

HARMONIZE - Jeshi Lyrics
HARMONIZE – Jeshi Lyrics

HARMONIZE – Jeshi Lyrics Sometimes what you dream
Can be deceiving
Na huwezi kuvuna usichokipanda
Thanks God for giving

Ghetto sikuwa na umeme wala cable
Hizi moja T-Shirt na yebo
Ati leo namiliki lebo
Lebo, Konde Gang lebo

Konde boy Jeshi!, Jeshi!
Konde boy Jeshi!, Jeshi!
Siku hizi wananiita Tembo, Jeshi!

Konde boy Jeshi!, Jeshi!
Konde boy Jeshi!, Jeshi!
Siku hizi wananiita Tembo, Jeshi!

Siku zote kisicho kuua
Kitakufanya uwe ngangari
Ata mwanga huwezi kumjua
So ishi nao kwa tahadhari

One love kwa wanangu wa Insta
Nyie ndo mnanunua CD
Two love kwa wanafiki wa Insta
Mnafanya niongeze bidii

Three love kwa mastaa
Zilifanya hasira zizidii
Four njia ngumu nilizopita
Mkanipa na jina mkasema niitwe (Jeshi!)

Jeshi!
Konde boy Jeshi!, Jeshi!
Konde boy Jeshi!, Jeshi!
Siku hizi wananiita Tembo, Jeshi!

Jeshi!
Konde boy Jeshi!, Jeshi!
Konde boy Jeshi!, Jeshi!
Siku hizi wananiita Tembo, Jeshi!

Mi naamini Mungu yupo tena
Naongea nae japo sisikii sauti yake
Nikianguka ntainuka tena
So usishangae why Tembo anahustle peke yake

Coz I know, unapokiokota
Ndo wakati wakukitunza
Ili kesho kisije potea

Na unaposota ndo wakati wa kujifunza
Ili ujue wapi ulipo upo
Sio kama siwezi kujibizana
Ila mwenzenu nimeumbwa na subira

Ona madili yanavyogogana
Coz nina nyota ya Libra
Siwaoni walotumwa kunitukana
Vichwa vyao kimya
Tena siku hizi siimbi sana
Wacha washindane na Ibrah

One love kwa wanangu wa Insta
Nyie ndo mnanunua CD
Two love kwa wanafiki wa Insta
Mnafanya niongeze bidii

Three love kwa mastaa
Zilifanya hasira zizidii
Four njia ngumu nilizopita
Mkanipa na jina mkasema niitwe (Jeshi!)

Jeshi!
Konde boy Jeshi!, Jeshi!
Konde boy Jeshi!, Jeshi!
Siku hizi wananiita Tembo, Jeshi!

Jeshi!
Konde boy Jeshi!, Jeshi!
Konde boy Jeshi!, Jeshi!
Siku hizi wananiita Tembo, Jeshi!

 

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button