New Lyrics

Ibraah ft Skiibii – Subira Lyrics

Ibraah ft Skiibii - Subira Lyrics
Ibraah ft Skiibii – Subira Lyrics

Ibraah ft Skiibii – Subira Lyrics. Oh na na

Subira imeniponza, natokota

Kwote kupambana tatu bila

Langu penzi tamu tamu, wameliokota

Eh moyo ukauwacha na malenge lenge umeota vidonda eh

Nimefuba hali ni shiwenge wivu nakonda yeah

Anipita mbali kama kigege

Aniacha hoi mi mlege lege

Nadharaulika ananiona bwege, oh inauma

Kama asali nishapokonywa masege

Kaniachiaga homa ya dege dege

Leo mlezi bichi mi wa mla ndege

Hakumbuki nyuma

Tena sikudhubutu, umfanya ajutie kunipenda

Niliamini wa milele daima, daima

Kwake sikuaga zumbukuku

Japo yangu ya kitochi, alimulikiaye

Anavyoiweka kando inaniuma, inaniuma

Eh yangu akili,

Ameichanganya changaya, Ameidanganya

Hakuna tena siri

Ameichanganya, moyo ameugawanya

Ye kumbe alipita kunusa

Ameichanganya

Penzi amelipangusa

Lipangusa aah, aah nalia

Baby no be moto, but you drive me crasy koni

Na wa gang but you off my head

Gang but you off my head

Umeniachia kidonda kidonda

Mi mwenzako ninakonda

Kidonda kidonda

Skiibii Mayana nakonda

Konda need a money

Baby danse, I’ve enought of money

Ma’a enjoy my money

I go stand by your side [?]

I wish you treat me right

I wish you do me right

I wish you do the right

My heart is beating I love you die

Eh yangu akili,

Ameichanganya changaya, Ameidanganya

Hakuna tena siri

Ameichanganya, moyo ameugawanya

Ye kumbe alipita kunusa

Ameichanganya

Penzi amelipangusa

Lipangusa aah, aah nali

 

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Check Also
Close
Back to top button