New Lyrics

JOVIAL Ft SSARU – Pita Nawe (Remix) Lyrics

JOVIAL Ft SSARU - Pita Nawe (Remix) Lyrics
JOVIAL Ft SSARU – Pita Nawe (Remix) Lyrics

JOVIAL Ft SSARU – Pita Nawe (Remix) Lyrics. Pita Nawe, Pita Nawe

Wananiita komesha roho wakijigonga
Nawapa sabuni ya roho wanapokoga
Wanakata sana pake wamedata
Mbali nami hawasogei wakishapata
Basi sogea nikuelezee
Mi mwenzako ni hoi
Yule wa kwako we mpoteze ei
Kwangu mi hatoboi

Nitakupa dishi tofauti
Utaipenda ladha
Nitakuchezesha bila buti
Sumakumaku ganda
Nitakupa dishi tofauti
Utaipenda ladha
Nitakuchezesha bila buti
Sumaku aaah

Akisleki mi napita nawe
Akisleki mi napita nawe
Akisleki mi napita nawe
Pita pita pita
Akisleki mi na pita nawe
Pita pita pita

Akisleki mi napita nawe
Songa nikudatishe
Songa mi nikulishe lishe
Njoo nikupagawishe
Wengine uwapishe pishe
Penzi lake pamba
Upande wa kitanda

Wangu bado mshamba
Hajui kutamba
Ipi tui me nikupe mate eeh
Uitafune
Kwako nimejipa
Sina ujinga mi
Beiiby

Nitakupa dishi tofauti
Utaipenda ladha
Nitakuchezesha bila buti
Sumakumaku ganda
Nitakupa dishi tofauti
Utaipenda ladha
Nitakuchezesha bila buti
Sumaku aaah

Akisleki mi napita nawe
Akisleki mi napita nawe
Akisleki mi napita nawe
Pita pita pita
Akisleki mi na pita nawe
Pita pita pita
Akisleki mi na pita nawe
Akisleki mi na pita nawe

Nitakupa dishi tofauti
Utaipenda ladha
Nitakuchezesha bila buti
Sumakumaku ganda
Nitakupa dishi tofauti
Utaipenda ladha
Nitakuchezesha bila buti
Sumaku aaah

The Akwaboahs – Awerekyekyere (Remix) (Father & Son)

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button