New Lyrics

KUSAH – Mama Lao Lyrics

KUSAH - Mama Lao Lyrics
KUSAH – Mama Lao Lyrics

KUSAH – Mama Lao Lyrics. Yeye hakutaka pesa alitaka furaha
Nami nikampatia
Kwa yale madeko mtoto akaja
Kusah nitakusalia

Unapokwenda nami nipo
Nimekubali yapitishwe maandiko
Imani yangu kwako ipo
Mimi nawe kitutenganishe kifo

Acha wa vijora wapambe (Ayee)
Baby acha watuchambe (Ayee)
Wa kutunang’a watunang’e (Ayee)
Penzi letu tulipambe (Ayee)

We ndo mama lao, mama lao
We ndo mama lao, mama lao

Mwenzenu kanipenda
Na moyoni nina pete
Kasema niwe naye kayachoka maseke
Kachoka yale mangumi na kupigwa mateke

Kasema ye hawezi kaukata utepe
Akanikaba shingo umemkaba roho
Ni penzi la kishindo la kikomando
Akikaa ukikisima twaijaza ndoo
Halloo, loo loo loo

Acha wa vijora wapambe (Ayee)
Baby acha watuchambe (Ayee)
Wa kutunang’a watunang’e (Ayee)
Penzi letu tulipambe (Ayee)

We ndo mama lao, mama lao
We ndo mama lao, mama lao
Achana nao!

We ndo mama lao, mama lao
We ndo mama lao, mama lao

Ohemaa Mercy Ft. MOG – Ote Me Mu (He Lives In Me)

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button