New Lyrics

Lomodo – Namaanisha Lyrics

Lomodo - Namaanisha Lyrics
Lomodo – Namaanisha Lyrics

Lomodo – Namaanisha Lyrics Iyee, mmmmh
Naahidi nitakupenda mpaka kifo
Kitutenganishe
Tuvuke majangwa na mafuriko

Kwenye baridi
Wewe ndo wangu jiko
Acha kuni nichochee
Unanipa joto

Eh sema utakacho mie sawa
Sitabishana
Waseme utakavyo mie chawa
Tukiongozana

We ndo wangu paracetamol
Watuliza maumivu ya moyo
Sina mwingine oooh ma yoo

Na maneno yasiyozidi kimo
Yakaleta gharika ya moyo
Wasitukalie vikao

Namaanisha, ninamaanisha
Namaanisha, ninamaanisha

Na nikisema nakupenda
Basi ujue namaanisha
Chizi mto kwa midenda
Kwa verse natiririka

Ooh baby mi mwenzako
Nimezama vibaya yaya
Sijiwezi
Usinitupe ukamakaya yaya

Nisipokuona mi roho juu juu
Nikikuona tu napata nafuu
Sitaki kuota njia ni wewe tu
Harufu manukato we ndo karafuu

Na kama tiba
We ndo wangu paracetamol
Watuliza maumivu ya moyo
Sina mwingine ooh ma yoo

Na maneno yasiyozidi kimo
Yakaleta gharika ya moyo
Wasitukalie vikao

Namaanisha, ninamaanisha
Namaanisha, ninamaanisha

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button