New Lyrics

Martha Mwaipaja – Wangejua Lyrics

Martha Mwaipaja - Wangejua Lyrics
Martha Mwaipaja – Wangejua Lyrics

Martha Mwaipaja – Wangejua Lyrics. Halleluyah, haa

Yeye ni Mungu akisema amesema
Yeye ni Mungu
Yeye ni Baba akipanga amepanga
Yeye ni Baba

Yeye ni vyote akisema amesema
Yeye ni Mungu
Yeye ni Mungu amepanga amepanga
Maana ye Mungu

Amesema hatutakuwa chini
Ameshasema maana ni Mungu
Amesema kesho yetu ni kubwa
Kasema maana ye ni Mungu

Usiliee, hee
Amesema yeye ni Mungu
Usichoke kasema yeye ni Mungu

Hawajajua amepanga mazuri Mungu
Wangejua kesho yako ni ipi
Wangejua wasingekukimbia
Kwa sababu unalia wamekuchoka
Wangejua wangevumilia na wewe
Wangejua leo yangu ni hii
Jana yangu wasingenitesa

Yeye ni Mungu akisema amesema
Yeye ni Mungu
Yeye ni Baba akipanga amepanga
Yeye ni Baba

Yeye ni Mungu akisema amesema
Yeye ni Mungu
Yeye ni Baba akipanga amepanga
Yeye ni Baba

Kwasababu tuko na Mungu
Ndugu zangu vita tutaishinda
Yeye ni Mungu akijibu ameshajibu
Mungu yetu yuko mbinguni
Anatazama atende kwa haki
Amewacha wote wakimbie
Akitenda anatenda kwa haki

Wangejua wewe ni nani
Wote wasingekukimbia
Wangejua wewe ni nani
Wote wasingekuacha

Wamekusukuma uende mbali
Usijali Mungu anatenda kwa haki
Wamekushtaki ili uhukumiwe
Usihofu Baba anajibu kwa haki

Wangejua kesho yako hautalia
Wangejua wangevumilia na wewe
Kawaida ya watu wanachoka
Wangejua wasingekuchoka

Yeye ni Mungu akisema amesema
Yeye ni Mungu
Yeye ni Baba akipanga amepanga
Yeye ni Baba

Yeye ni Mungu akisema amesema
Yeye ni Mungu
Yeye ni Baba akipanga amepanga
Yeye ni Baba

Stonebwoy x Davido – Activate Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button