New Lyrics

Meja Kunta X Malkia Karen – Sina Lyrics

Meja Kunta X Malkia Karen - Sina Lyrics
Meja Kunta X Malkia Karen – Sina Lyrics

Meja Kunta X Malkia Karen – Sina Lyrics. Aaah, ooooh!!
Oyaa, oyaa
Oyaa, oyaa oyaa
Oyaa, oyaa oyaa

Labda nipate nafasi
Niseme nawe kidogo
Mwenzako moyo waenda kasi
Nimekumiss sio kidogo

Labda nipate nafasi
Niseme nawe kidogo
Mwenzako moyo waenda kasi
Nimekumiss sio kidogo

Nikueleze mapenzi
Hivi unajua
Yanaweza kufanya ukalia
Kumbe hupendwi unajisumbua

Ye anaonaa, mama mapenzi
Hivi unajua
Yanaweza kufanya ukalia
Kumbe hupendwi, unajisumbua

Yee anaonaa
Mpenzi nakupenda
Ukiwa mbali mi nateseka
Kumbe mshenzi anadanga
Na ukikata simu anacheka

Jamani aah, aah
Oooh (Oooh), aah!!
Oooh (Oooh), aah!!

Sina sina sina sina sina
Sina wa kunifariji mie
Wa kunipenda mie
Sina wa kunifariji mie
Wa kunipenda mie

Sina sina sina sina sina
Sina wa kunifariji mie
Wa kunipenda mie
Sina wa kunifariji mie
Wa kunipenda mie

Mi najiuliza mengi
Hivi ni nani aniwazaye
Mbona sipendwi
Ama riziki yangu baadae

Mi napata uchizi
Jamani nani anipendaye
Mi sijiwezi
Hivi ni yupi mi niwe naye

Yote sawa nishachoka kuwa roho juu
Usiponipenda utajiju
Ila siwezi lia na wewe tu
Bora nijidangie vibabu babu

Aaah aah… nijidangie vibaby

Sina sina sina sina sina
Sina wa kunifariji mie
Wa kunipenda mie
Sina wa kunifariji mie
Wa kunipenda mie

Jamani aah, aah
Oooh (Oooh), aah!!
Oooh (Oooh), aah!!

Oh jamani ona mchicha uko nyuma
Umeinuka ivo
Oooh jamani ukienda mbele poa (Poa)
Basi poa poa poa (Poa)

Ukiinuka poa (Poa)
Wanafunzi poa (Poa)
Aaah meja hebu tulia kwanza
Chefuuu!!

Rayvanny Ft Zuchu – Number One Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button