New Lyrics

MR BLUE – KIGUU NA NJIA Lyrics

MR BLUE - KIGUU NA NJIA Lyrics
MR BLUE – KIGUU NA NJIA Lyrics

MR BLUE – KIGUU NA NJIA Lyrics Never loose, yeah yeah yeah

Nimehustle miaka mingi
Eti mpaka leo bado niko kwenye mbio
Kwa kusaka shilingi
Eti mpaka leo sioni mafanikio

Nyumbani hakuna raha
Kila siku ni vilio
Watoto wanalia njaa aah
Kero kwenye masikio

Ila one day nitapata na mimi
Walopata wana nini
Na mimi nimekosa, nimekosa nini
Ila one day ye ye ye

Kama Mungu namuamini
Na mi najiamini
Sasa niko na nini?

Kiguu na njia oooh
Jua linatoka na kuzama nipo kwenye njia
Kushoto na kulia oooh
Ila Mungu yupo na nia na sitakata tamaa

Kiguu na njia oooh
Jua linatoka na kuzama nipo kwenye njia
Kushoto na kulia oooh
Ila Mungu yupo na nia na sitakata tamaa

Jua linawaka
Mwenzenu nimechoka
Mifuko imetoboka
Mi nasota ye ye yeee

Kama Mungu wangu yupo
Basi najua ipo hata nikipata mwisho
Labda kinikute kifo
Ila Mungu yupo na subiri nione mwisho

Lazima nichukue jiko
Ah hakuna jiko bila mshiko
Vyakula kwa vijiko
Madiko diko mpaka tunalamba mwiko

Ila one day nitapata ghetto kuu
Mmoja wa kuwa na mimi
Kuniamini kunidhamini
One day ye ye yeee

Kama Mungu namuamini
Na mi najiamini
Sasa kuna nini?

Jua linatoka na kuzama nipo kwenye njia
Kushoto na kulia oooh
Ila Mungu yupo na nia na sitakata tamaa

Kiguu na njia eiyee
Jua linatoka na kuzama nipo kwenye njia
Kushoto na kulia oooh
Ila Mungu yupo na nia na sitokata tamaa

Jua linawaka
Mwenzenu nimechoka
Mifuko imetoboka
Mi nasota ye ye yeee

 

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button