New Lyrics

NVIIRI THE STORYTELLER Ft BIEN SAUTISOL – Niko Sawa Lyrics

NVIIRI THE STORYTELLER Ft BIEN SAUTISOL - Niko Sawa Lyrics
NVIIRI THE STORYTELLER Ft BIEN SAUTISOL – Niko Sawa Lyrics

NVIIRI THE STORYTELLER Ft BIEN SAUTISOL – Niko Sawa Lyrics. What a waste?
Ooh Lord, rasta we tella ah

What a waste
Baby tumejiseti we on the highway
Tukafunga breki, tukaanza bishana
Asking who is Diana? Vipi mnajuana

I swear tumejibetray, baby tumejiseti
Coz love isn’t here right now
I guess you never know (Never know)
Mahali hii story ingeenda

Tulichoanza kuja tumalize
Kinachokwaza baby ziandike
Punguza drama baby zitushike
Washa kishada

I don’t wanna argue ka uko sawa mi niko sawa
Ka uko sawa mi niko sawa
Aki zile vitu tulipanga ukanishukisha namba
Najua unamiss hii kitanda, vile visa na visanga
Aki zile vitu tulifanya kabla ubadilishe namba

Bado we husemanga mi ni psycho
Bado mi hupinganga simu yako
Nilidelete namba yako
Lakini bado naikumbukaga kwa moyo

And I just can’t explain
Thoughts of you and me
Keep going up and down in my brain
And you were looking for some love
Didn’t care for fame
I was looking for a good time now you in the game yeah
Now you stuck on my name
Moving in together baby it was never the same
Ooh without a shame kila saa tunagombana
Lini tutaelewana yeah

Tulichoanza kuja tumalize
Kinachokwaza baby ziandike
Punguza drama baby zitushike
Washa kishada

I don’t wanna argue ka uko sawa mi niko sawa
Ka uko sawa mi niko sawa
Aki zile vitu tulipanga ukanishukisha namba
Najua unamiss hii kitanda, vile visa na visanga
Aki zile vitu tulifanya kabla ubadilishe namba

I don’t wanna argue ka uko sawa mi niko sawa
Ka uko sawa mi niko sawa
Aki zile vitu tulipanga ukanishukisha namba
Najua unamiss hii kitanda, vile visa na visanga
Aki zile vitu tulifanya kabla ubadilishe namba

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button