New Lyrics

Sovereign X Timeless Noe – Shindwe Lyrics

Sovereign X Timeless Noe - Shindwe Lyrics
Sovereign X Timeless Noe – Shindwe Lyrics

Sovereign X Timeless Noe – Shindwe Lyrics Shindwe, Shindwe (Riswa)
Shindwe Pepo Shidwe (Riswa)
Pepo zimeshindwa (Kemea)
Ayayaya

Shindwe, Shindwe (Riswa)
Shindwe Pepo, Shindwe (Riswa)
Kwa Jina La Yesu (Kemea)
Wololololo

Alifufuka matatu
Ye ndo dere mi ndo donda
Na word nakwambia ni mbele utasonga
Utaendelea kuhate mpaka lini? Riswa!

Shindwe baki huku chini
Ni nguvi za nani zilipasua maji?
Mi hapana rapper niitwe mchungaji
Milele anichunge na message niwapatie
Asichoke kuniongoza
Na ni ukweli ye ndo mimi

Shetani nakataa, zii zii zii
Akanipa identity, son of King
Shenzi alikuja tu kuharibu
Kwa God sai sai unaanikwa karibu

Kweli ni ukweli hakuna mtu perfect
Unafanya nini kuhakikisha uko safi
Wacha sheito ajue mimi ni kichwa ngumu
Kazi imenileta ni kusifu huyu Mungu

Shindwe, Shindwe (Riswa)
Shindwe Pepo Shidwe (Riswa)
Pepo zimeshindwa (Kemea)
Ayayaya

Shindwe, Shindwe (Riswa)
Shindwe Pepo, Shindwe (Riswa)
Kwa Jina La Yesu (Kemea)
Wololololo

Niko na Bible – nayo holy
Ibilisi lazima alie woi
Pepo zote mbaya (Burn dem burn dem)
Usherati na ufisadi (Zote burn dem)

Kama kawa niki ready kama Vandem
Everytime devil anakam man I beat him
James 4 verse 7 inasema
Resist the devil and I tell you he will flee

Fitina uchawi uongo (Riswa)
Chuki madre na mangwati (Riswa)
Ushirikina instead of ushirika
Umasikini na wizi (Riswa)

You better follow de father
Kuja hapa atakupeleka na rada
No, No kwa devil ni blunder
Anakudanganya kuja hapa kwa baba

Shindwe, Shindwe (Riswa)
Shindwe Pepo Shidwe (Riswa)
Pepo zimeshindwa (Kemea)
Ayayaya

Shindwe, Shindwe (Riswa)
Shindwe Pepo, Shindwe (Riswa)
Kwa Jina La Yesu (Kemea)
Wololololo

Fire fire follow me
Like the day of Pentecost
Kama kadancey kameshika
Ita Mungu kwa kanisa

Choma nguvu za giza
Na vitu vifuatavyo
Uchawi na fitina
Mateso na magonjwa

Choma zote kabisa
Waka waka kabisa
Ikikuja mara tena
Sisi tutasema

SAMIDOH – Mumbi Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button