New Lyrics

Tallie – Hit Song Lyrics

Tallie - Hit Song Lyrics
Tallie – Hit Song Lyrics

Tallie – Hit Song Lyrics. Mi napenda vile hupiganga kama hitsong
Vile we huipiga kama hitsong
Mi napenda vile hupiganga kama hitsong
Dj we icheze kama Hitsong

Nina maboy wa kila kabila
Wakamba wajaka
Maboy mi hujenga na wengine mabratha
Wengine sugar mummy hujifanya mafather
Na wako na taste yangu na wengine no ladha

Usinishike bila doh
Mi ni bibi ya wenyewe
But ka uko na doh
Baby boo niko na nyege

Vajo ka Mary kam nikupeleke heaven
Kam baby kam ndani tupunguze nyege
Mchuzi mix mi huwaga sosi
Mi sipendi fare napenda vako za kidosi
Chunga chali yako si unajua mi ni mnaughty
Mi napenda chuma imetengenezwa na Doshi

Mi napenda vile hupiganga kama hitsong
Vile we huipiga kama hitsong
Mi napenda vile hupiganga kama hitsong
Dj we icheze kama Hitsong

Mi napenda vile hupiganga kama hitsong
Vile we huipiga kama hitsong
Mi napenda vile hupiganga kama hitsong
Dj we icheze kama Hitsong

Bibi ya mabwana zao
Mi nafanya wanambao
Nawakulanga mathao
Siku hizi hawalali kwao

Nawakorogaga kama wafuasi wa Ng’ang’a
Ikipigagwa sana napigaga nduru sana
Mzuri sana ukiuliza habari
Mambo moto sana si inakuwaga ni hatari

Usikam haraka si unajua ni safari
Si lazima kwa kitanda tunaweza fanya kwa gari
Ilale ndani ka vako za stenje
Si unikunje kunje kama design ya walenje
Usikule na pupa hata ka uko kinenge
Chunga paparazzi wanatembeaga na menje

Mi napenda vile hupiganga kama hitsong
Vile we huipiga kama hitsong
Mi napenda vile hupiganga kama hitsong
Dj we icheze kama Hitsong

Mi napenda vile hupiganga kama hitsong
Vile we huipiga kama hitsong
Mi napenda vile hupiganga kama hitsong
Dj we icheze kama Hitsong

Bibi ya mabwana zao
Mi nafanya wanambao
Nawakulanga mathao
Siku hizi hawalali kwao
Siku hizi hawalali kwao

Mi napenda vile hupiganga kama hitsong
Vile we huipiga kama hitsong
Mi napenda vile hupiganga kama hitsong
Dj we icheze kama Hitsong

Mi napenda vile hupiganga kama hitsong
Vile we huipiga kama hitsong
Mi napenda vile hupiganga kama hitsong
Dj we icheze kama Hitsong

Sarkodie – Happy Day Ft Kuami Eugene

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button