New Lyrics

Tugi X Josh Xtra X Garvey Royal X Pat-c – KWA MATOPE Lyrics

Tugi X Josh Xtra X Garvey Royal X Pat-c - KWA MATOPE Lyrics
Tugi X Josh Xtra X Garvey Royal X Pat-c – KWA MATOPE Lyrics

Tugi X Josh Xtra X Garvey Royal X Pat-c – KWA MATOPE Lyrics. Aki Please,
Daddy aki please”
Nifanye nini?
“Toa gari kwa gate” Hahahaha
“Daddy toa gari huko nnje”
Okay sawa sawa, tunaenda wapi
“Kwa matope!”

(Safecon Music)

Kwa matope, kwa matope
Kwa matope, kwa matope
Kwa matope, kwa matope
Kwa matope, kwa matope

Ndahunyukite ngiuma kwa waina
Niliparara but sai nimeng’aa
I’m reminded am the salt of the earth
I like tunaheal so siwezi zima taa

Shika kiuno cheza.. ah polepole
Na ikibamba sana eh .. kidole dole
Wakiuliza waambie hakuna ngori ngori
Haturudi kwa matope sorry sorry

Tabia mbaya tumeacha
Mbogi mbaya mimi ah ah
Dhambi nayo tumekataa
Sirudi tena eeh, sirudi tena aah

Kwa matope, kwa matope
Kwa matope, kwa matope
Kwa matope, kwa matope
Kwa matope, kwa matope

Nakumbuka zile days kwa kibanda
Nikimeditate life nikiwonder
Venye life nina struggles ka dimanga
Sai life tu simple kila siku tu napanda

Another tune na watoi wanasifu tu
Another tune na wabuda wanasifu tu
Another tune na wamatha ni kusifu tu
Sir blessings blessings so hivi hurray

Tabia mbaya tumeacha
Mbogi mbaya mimi ah ah
Dhambi nayo tumekataa
Sirudi tena eeh, sirudi tena aah

Kwa matope, kwa matope
Kwa matope, kwa matope
Kwa matope, kwa matope
Kwa matope, kwa matope

Young Killer Msodoki – RUDIA Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button