New Lyrics

WILLIS RABURU Ft REKLES x BREEDER LW x MEJJA – Kalale Lyrics

WILLIS RABURU Ft REKLES x BREEDER LW x MEJJA - Kalale Lyrics
WILLIS RABURU Ft REKLES x BREEDER LW x MEJJA – Kalale Lyrics

WILLIS RABURU Ft REKLES x BREEDER LW x MEJJA – Kalale Lyrics What does it mean to be a Bazu?
It means greatness, it means prowess
So basically to be a Bazu is to be
Hahahaha it’s just to BE
So just be ME and if you don’t like it well…

Hahahaha it’s the wild wild Willis (Bazu)
Mavo ketkino bwana, ketkino bwana
Ketkino wathe wathe huru
Wabebe!!

Yeah Kalale, Kalale
Ati ati nini kalale
Eey kalale
(Mavo on the beat)

Rekles, Ethic Entertainment
Hii ni lazma utamark kwa kalenda
Ya ma-master ma G, mabazenga
Pia kafala na beef nakalenga
Na ka kawa mi huvunja agenda

Sibishanangi siku hizi niko busy
Labda ka ni bei za Benz na mabiggy
Hakunanga mtaani naeza kula baridi
Buda kila esto jijinina biggy

Kalale (Unakulanga ferrari)
Kalale (Rusha mawe ka Khalwale)
Ati nini kalale (Unaongea mingi ka hoe)
Kalale

Eey ati nini kem kem
What a gwan eeh, what have I missed?
Ka si ganji hainisaidii
What a gwan eeh, What about it?

Broman ka unadai beef kalale
Lale lale la, kalale
Eey ati ati nini kalale
Lale lale la, kalale eey

Breeder LW
Papa fathela kile imebaki ni kujengewa statue
Na usiache ndula nje na unajua tuko Pipu
Tuko upde na TK mbogi yote my crew
Masilver ndo zimejaa kama Manchester Blue

Chem ndo ilikuwa inafanyaga nidoz daro
Papa God si unionyeshe ganji kama Flaqo
Niadisie, mafigure macomma na mazero
Very soon itabidi nikisonga ni ki Prado

Fan after fan kuwachukua wakikam
Na mali ikiwa safi ongezea bei ya bidhaa
Wasoro kuwapunish kupepea ka kiflag
Na ukizidi kulegeza ndo utatekewa madam

Kem kem what a gwan eeh
What have I missed? (I missed)
Ka si ganji hainisaidii (Saidii)
What a gwan eeh, what about it? (Bout it?)

Broman ka unadai beef kalale
Lale lale la, kalale
Eey ati ati nini kalale
Lale lale la, kalale eey

Mejja aka Okwonko
Katubongi pesa ni upuzi (Haha)
Nataka kuwa na shares Kakuzi
Yoh nijenge huko Nyali
Ininyc nikikunywa sharubati

Ukirushwa manzi kalale
Compe ni compe roho safi
Bazu, bazu,
Mi hufanya biz na mabazu

Sipendi chali amewekwa
Unalipiwa nyumba Ruaka, Kalale!
Wanaume wakiongea Kalale!
Okwonko

Hey ati ati nini Kem kem
What a gwan eeh, What have I missed?
Ka si ganji hainisaidii (Saidii)
What a gwan eeh, what about it? (Bout It?)

Broman ka unadai beef kalale
Lale lale la, kalale
Eey ati ati nini kalale
Lale lale la, kalale eey

Ssaru wa Manyaru
Aah ka niko mboka huwa sibishani na wale
Alafu buda kwa hii game mi ndio huchezanga malale
Nakuja solo nyi mkikujaga wanane
Na ukileta usoro nakupiganga mabare

We kalale hapa ni kwa watu wa kale
Ju wanitafuta huwa niko hapa na pale
Na isipojipa mi nahamia Kitale
Ka Poshomill pale napunguza ukware

Ukware hizo vako za ku-party mi sisare
Sisare ju bado mi ndo hutembea na nare
Na ukinipata kwa chuom mi nitakosaje mali
Mi nakulanga mbosho we ukikulanga mabare

Kem kem what a gwan eeh
What have I missed? (I missed)
Ka si ganji hainisaidii (Saidii)
What a gwan eeh, what about it? (Bout it?)

Broman ka unadai beef kalale
Lale lale la, kalale
Eey ati ati nini kalale
Lale lale la, kalale eey

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button