New Lyrics

Willy Paul x Mejja – NYE Lyrics

Willy Paul x Mejja - NYE Lyrics
Willy Paul x Mejja – NYE Lyrics

Willy Paul x Mejja – NYE Lyrics. Alisema kwake ni kama kwangu
Eti Pozze feel at home
Akasema bila mimi hawezi kufunction
Ni kama mdomo bila nyef eeh

Pia mimi alinishow hana mambo mob
Akajifanya holy jo
Niko na message kwa phone
Kumbe alichapwa na Kevo na Brayo

Baby punguza ma nye (Nye Nye)
Punguza ma nye (Ata mamangu hakutaki)
Baby punguza ma nye, (Nye Nye)
Punguza ma nye

Punguza ma nye (Nye Nye)
Punguza ma nye (Ata mamangu hakutaki)
Baby punguza ma nye, (Nye Nye)
Punguza ma nye (Punguza ma nye)

Huyu manzi ananibamba
Lakini ubaya anapenda kugaga-gawa
Naskia anadai wazee walisema
Miti ni dawa

Na mi alinshow penzi lake kwangu
Ni ya power
Yake pata potea
Kata ka stima Kenya Power

Ye hupost ndethe ID
Alafu anaandika caption moja deep
Wacha chocha

Toto anapenda manyundo
Nilidhani katoto, toto
Kumbe nadeal na ka po-Ko

Baby punguza ma nye (Nye Nye)
Punguza ma nye (Ata mamangu hakutaki)
Baby punguza ma nye, (Nye Nye)
Punguza ma nye

Punguza ma nye (Nye Nye)
Punguza ma nye (Ata mamangu hakutaki)
Baby punguza ma nye, (Nye Nye)
Punguza ma nye (Punguza ma nyege)

Katoto kanapenda ngwati
Ngwati, ngwati eeh
Katoto kanapenda ngwati
Eeeh

Kukupiga busu ni ka kukiss esto
Hizi lips nitaziosha na dettol
Nilidhani you are humble and loyal
Kumbe kazi yako ni kugurumisha freno

Nilidhani mi hukulima vifiti
Kumbe kuna mwingine hukupiga miti
Mmmmh we ni wa kamati
Unalimwa na kamati

Baby punguza ma nye (Nye Nye)
Punguza ma nye (Ata mamangu hakutaki)
Baby punguza ma nye, (Nye Nye)
Punguza ma nye

Punguza ma nye (Nye Nye)
Punguza ma nye (Ata mamangu hakutaki)
Baby punguza ma nye, (Nye Nye)
Punguza ma nye (Punguza ma nyege)

Pepe x Jador & Jo Klass – Lolita Versuri (Lyrics)

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button