New Lyrics

Zee X City Boy – Umeniroga Lyrics

Zee X City Boy - Umeniroga Lyrics
Zee X City Boy – Umeniroga Lyrics

Zee X City Boy – Umeniroga Lyrics. Jagwani umeota mtendeni
Mashetani yashapanda kichwani
Penzi ladha utamu wa peremende
Mganga kakoleza udi na ubani#

Nitekenye kwenye mbavu
Basi niguze taratibu watikisa nyavu
Nichechemee kama mlemavu
Kwako beki hazikabi usiniweke sub

Mbona wanapata tabu vijiba vya roho
Penzi limenoga
Ugali na kisambu naridhika roho
Kwako mi mzoga

Kitandani nipe swagga la kashasha (Chambua)
Imeshalowa babe weka marker (Kamua)
Tandika jamvi tena changa na karata (Binua)
Wenye chosha kanaswa kibaka

Umeshaniroga, roga utata
Niroga, roga utata
Umeshaniroga, roga utata
Niroga, roga utata

City Boy
Lazima imebaki kikaka
My baby boo chonde na macho kwa kitumbua
Utamu wako wa kashata
Mi roho juu nafika kunako, mikono juu

Ju ka Minaj nakazana, si pendo la kumimina
Naota nikikutaja jina
Si kama na act, twapanda tati, shopping twende Madina
Ngozi za nyoka tutoe China

Kitandani nipe swagga la kashasha (Chambua)
We komoa nizidi kudata (Binua)
Kama kamovigesi zifike Basata (Zingua)
Kwenye toto kanaswa kibaka

Nasema girl umeniroga, roga utata
Niroga, roga utata
Nasema girl umeniroga, roga utata
Niroga, roga utata

Nitekenye kwenye mbavu
Basi niguze taratibu watikisa nyavu
Nichechemee kama mlemavu
Kwako beki hazikabi usiniweke sub

Mbona wanapata tabu vijiba vya roho
Penzi limenoga
Ugali na kisambu naridhika roho
Kwako mi mzoga

Ju ka Minaj nakazana, si pendo la kumimina
Naota nikikutaja jina
Si kama na act, twapanda tati, shopping twende Madina
Ngozi za nyoka tutoe China

Umeshaniroga, roga utata
Niroga, roga utata
Umeshaniroga, roga utata
Niroga, roga utata

Diana Hamilton – ADOM (Grace) Lyrics

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button